Sunday, July 15, 2012

Ujenzi na upanuzi wa barabara ya Mwanza hadi Musoma umeshika kasi na sasa barabara hii inaelekea kuingia mjini Musoma, mpaka asubuhi ya leo shughuli hii ilikuwa imefikia eneo la baruti nje kidogo ya mji wa Musoma hili ndiyo eneo la Baruti.

No comments:

Post a Comment