MEYA WA ILALA KUKUZA KIINGEREZA KATIKA SHULE ZA SERIKARI
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya manispaa ya Ilala Mh. Jerry William Silaa
akiwa na Bwana James W. Parkinson kutoka Marekani
kwenye mazungumzo ya awali ya mpango wa Meya Silaa wa kuongeza uwezo wa
wanafunzi wa shule za serikali kuzungumza kiingereza.
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya manispaa ya Ilala Mh. Jerry William
Silaa na Bwana James W. Parkinson kutoka Marekani wakiwa katika picha ya
pamoja.
No comments:
Post a Comment