kwa mdau aliepoteza cheti hiki
Habari za Leo,
Naomba
msaada wako wa kumpata mwenye Cheti hiki,maana alikisahau katika
Stationary yangu pindi alipokuja kutoa Photocopy,ni muda mrefu sasa
hajatokea na nahisi hakumbuki alikisahau wapi.
Naomba unisaidie kupatikana kwake ili aje akichukue cheti chake.
awasiliane nami kwa namba hii 0654 969 715.
Naomba unisaidie kupatikana kwake ili aje akichukue cheti chake.
awasiliane nami kwa namba hii 0654 969 715.

No comments:
Post a Comment