Monday, July 16, 2012

Foleni ya kuelekea Mizani ya Kibaha mkoani Pwani

Hivi ndivyo hali inavyokuwa hasa wakati wa Jioni wakati magari makubwa yakiwa katika foleni ya kuelekea kupima uzito kwenye Mizani ya Kibaha mkoani Pwani,ambapo kutokana na kwamba kuna magari mengine hayatakiwi kupita kwenye mizani hiyo hivyo yanalazimika kuyapita magari hayo yaliyo kwenye foleni ili kuendelea na safari zao.sasa wakati mwingine mambo huwa namna hii.

No comments:

Post a Comment