Tuesday, July 17, 2012

MFANYABIASHARA MAARUFU WA IRINGA ATANGAZA KUJIUA HADHARANI NA WATU KUINGIA NA KIINGILIO KWENYE TUKIO HILO!

 HABARI HII IMEANDIKWA NA CLEMENT SANGA WA FB
ALIYEKUWA MFANYABIASHARA MAARUFU MKOANI IRINGA ENZI HIZO MAKOSA ATANGAZA ATAJINYONGA NA WATU WATAINGIA KWA KIINGILIO.

katika mazingira ya kutatanisha makosa ametangaza kujinyonga na tukio hilo litafanyika hadharani ktk uwanja wa samora mjini hapa iringa.

No comments:

Post a Comment