Friday, July 13, 2012

MAMLAKA YA ELIMU TANZANIA (TEA) ILIVYOSHIRIKI TAMASHA LA MATUMAINI

 Meneja Habari Elimu na Mawasiliano, Sylvia Lupembe akiwa katika picha ya pamoja na wabunge mashabiki wa Simba wakati wa mchezo wa tamasha la Matumaini
 
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Rosemary Lulabuka (kulia) akicheza sambamba na wachezaji wa timu ya Wabunge mashabiki wa Simba baada ya kuwafunga Wabunge mashabiki wa Yanga 3-1 katika tamasha la Matumaini la kuchangia ujenzi wa hosteli za wanafunzi wa kike nchini.
 
 Wafanyakazi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa tamasha la matumaini.
 
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Rosemary Lulabuka wa pili kulia akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugezi wa Uhamasishaji na Rasilimali Watu, Seif Mohamed (kushoto), Meneja Habari Elimu na Mawasiliano, Sylvia Lupembe wa pili kushoto na Mkurugenzi wa Gobal Publisher, Eric Shingongo wakati wa tamasha la Matumaini  lililowakutanisha Wabunge mashabiki wa Simba na Wabunge mashabiki wa Yanga kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa Hosteli kwa wanafunzi wa kike. 
 

No comments:

Post a Comment