Wednesday, June 26, 2013

MUME AMKAMATA MKEWE KWA SANGOMA AKITAKA KUTEKETEZA FAMILIA KISHIRIKINA KIBAHA

 Mtuhumiwa huyo akiwa ndani ya gari la polisi baada ya kukamatwa akiwa na Mganga wake, hapa wakipelekwa Kituo cha Polisi. 
Mtuhumiwa akiwa ndani ya  chumba cha mganga na mganga wake aitwaye Yahaya.
Mtuhumiwa  wa kutaka kuuwa kwa imani za kishirikina aliyetambuliwa kwa jina la Margareth Simon Nkwera, akiwa ndani ya chumba cha Mganga wa Jadi alikokamatiwa alipokwenda kutekeleza suala lake la kutaka kujaribu kuua. 

Hapa akiwa katika mahojiano na mzee wa ukoo wa Shirima, Afisa wa Jeshi la Polisi daraja la Kwanza,  Joseph Shirima mara baada ya kumkamata live kwa Sangoma huyo baada ya kuwekewa mitego.Habari hii imetolewa na mwenyekiti wa ukoo wa shirima Bw. Godilisten Hendrick Shirima.


Mama huyo aliyejulikana kwa jina la Magreth simon Nkwera ambae ni mtoto wa kwanza wa Mnadhimu mkuu wa kwanza wa JWTZ, Brig Gen Simon Nkwera amekamatwa jana huko maeneo ya Maili Mbili Kibaha Mkoa wa Pwani akiwa kwa Mganga wa kienyeji akijaribu kutekeleza jaribio lake la kuwauwa baadhi ya watoto wa mumewe na baadhi ya ndugu zake kwa imani za kishirikina.
HABARI HII IMETOLEWA NA:-Makamu mwenyekiti wa ukoo wa Shirima Bw. Godilisten 
Hendrick Shirima +225 753 170 271
KWA USHIRIKIANO NA:- Mzee wa ukoo wa Shirima Bw. Joseph Shirima, 0719948241
NA:- Mume wa mtuhumiwa Mzee Douglas Shirima, 0658386628

No comments:

Post a Comment