Sunday, June 23, 2013

HAYA NI MAAGIZO AU NI 'ASANTE OBAMA'?

Mafundi wakiendelea na kazi ya ukarabati wa kumwaga Kokoto na kuzisambaza na kuzikandamiza, pembezoni mwa barabara ya Kilwa, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mazingira kuelekea ujio wa Rais wa Marekani nchini Tanzania, Barack Obama, anayetarajia kuwasili nchini mwezi ujao.

*JICHO LANGU NDANI YA MJI WA DODOMA LEO

 Mitaa ya Stendi ya Mabasi yaendayo Mikoa mingine katika Mji wa Dodoma, Eneo hilo kwa sasa kuna Stendi isiyo rasmi kutokana na ujenzi wa Kituo hicho ambapo mabasi hulazimika kuegesha pembezoni mwa barabara kubwa huku yakipakia kwa foleni moja baada ya jingine.
Huku nako ni stendi ndogo iliyopo Mtaa wa Majengo ambayo huegeshwa magari yanayokwenda katika vijiji vya Mji wa Dodoma na Wilaya zake.

No comments:

Post a Comment