Wednesday, June 26, 2013

JESHI LA POLISI LATOA ONYO LA KUTOFANYIKA KWA MAANDAMANO YA CUF KWENDA IKULU DAR ES SALAAM


Jeshi la polisi limetoa onyo la kutofanyika maandamano ya CUF kwenda Ikulu na endapo watalazimisha kuandamana hatua za kisheria zitachukuliwa. Kamishna wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam CP Suleiman Kova amesema Tanzania itakua mwenyeji wa ugeni mkubwa wa kimataifa ukiwemo wa ushirikiano kwa manufaa ya wote ambao utahusisha maraisi 14.

No comments:

Post a Comment