Tuesday, June 26, 2012

TANGAZO


Wapendwa ktk Michezo, maendeleo na FC.K.
Uongozi na kamati kuu ya FC Kilimanjaro unapenda kutoa salaam za dhati kwenu na kwa wote wanaohusika katika kuchangia maendeleo ya chombo hiki. Timu yetu inazidi kusonga mbele. Pia kuna uwezekano FC Kilimajaro ikashiriki mashindano ya daraja la 4 au la 3 (professionalism) mwaka huu au siku za mbeleni ikiwa kuwa na wafadhili (sponsor) katika muda mwafaka wa kukisimamisha chombo hiki muhimu cha maendeleo ya nchi yetu TZ na Afrika mashariki, Afrika na Sweden na kwingineko. Tafadhari husika kichwa cha habari na jarada/attach hapo juu. Michango na Maendeleo ni watu na watu ndio sisi. 
 
COME COME COME/NJOO NJOO NJOONI!!! ITS FC KILIMANJARO CONTRIBUTION PARTY / NI PARTY MCHANGO YA FCKILIMANJARO...
 
TENA NA TENA WAKARIBISHWA TUJUMUIKE TUKIJUMUISHA FC.K / WELCOME ONCE AGAIN AND LET GET TOGETHER IN SUPPORTING FC.K @KISTA TRÄFF MO-INFO: PS OPEN ATTACHED FILE ABOVE.
WELCOME ONE WELCOME ALL / KARIBU KARIBUNI
 
Mulashani, Adrey Eustace and Administration

FC Kilimanjaro ORGNR: 802461-7808
TFN FCK: + 46 764405741
TFN/TFX WORK: + 46 8 370274 MOBILE + 46 73 7106092

No comments:

Post a Comment