Tuesday, June 26, 2012


KALALA JUNIA NDANI YA EXTRA BONGO

Wacheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo wakicheza wakati wa onyesho la Bendi hiyo kwenye Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar es Salaam


Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo, Ally Chocky(kulia) akiimba sambamba na waimbaji wake wakati wa onyesho la Bendi hiyo kwenye Ukumbi wa Meeda jijini Dar es Salaam


Wacheza shoo wakicheza


Rapa Mkuu wa Bendi ya Extra Bongo, Frank Kabatano akiimba wakati wa onyesho la Bendi hiyo kwenye Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar es Salaam


Mpiga Rythm, Mfaume Zablon akilichakaza Gitaa wakati wa onyesho hilo


Mpiga Tumba, Salum Chakuku akiwajibika wakati wa onyesho hilo.


Wacheza shoo wakicheza

 
Mpiga Solo, Adam Hassan akiwajibika katika kutua burudani


Chocky na waimbaji wake wakiimba


Mpiga Drums,Martine Kibosho akiwajibika wakati wa onyesho la Bendi hiyo kwenye Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar es Salaam



Ally Chocky na wadau wa muziki,kutoka kulia ni Kalala Junia,Ndanda Kossovo


  Wacheza shoo wakicheza

 
Mwalimu wa Waalimuni,Banza Stone akiimba

 
Wakicheza staili ya Katelelo




  Wakicheza


  Mtaalamu wa kila chombo cha muziki, Sebastian Ngosha akilichalaza Bass
 
 
Kiongozi wa wacheza shoo wa kike, Otilia Boniphace akionyesha manjonjo

No comments:

Post a Comment