Monday, October 1, 2012

KOCHA MPYA WA YANGA AANZA KAZI RASMI KUINOA TIMU HIYO

Wachezaji wakijifua kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao dhidi ya Simba siku ya jumatano Wachezaji wakijifua kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao dhidi ya Simba siku ya jumatano Wachezaji wa Yanga wakimsikiliza kocha wao, Emstus Wilhelmus Johannes Brandts wakati wa mazoezi ya timu hiyo kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola jijini Dar es Salaam Wachezaji wa Yanga wakiwa katika mazoezi ya kujiandaa na mchezo wao dhidi ya Simba chini ya kocha wao mpya raia wa Uholanzi, Emstus Wilhelmus Johannes Brandts kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment