Tuesday, July 24, 2012

TAHADHARI KWA WATUMIAJI SIMU ZA MKONONI:


Simu zinatumia Mionzi ya

MICROWAVE ambayo huwezesha

kuunganisha simu yako kwenda

kwenye Mnara na mnara

... huunganisha Simu yako na Mitambo

ya Mtandao wako ambapo pia

Hurudishwa kwenye mnara hadi kwa

mtu Unaye mpigia. Microwave ndio

njia kuu ya muunganisho huo. Lakini

kunamdhara mengi mtu huyapata

kutokana na kuwa karibu na Mionzi

hiyo ambayo hadi sasa bado

haijafahamika ni kwa kiasi Gani.

Uchunguzi umeonyesha kuwa kuna

madhara mengi ya kiafya tunayapata

kutokana na Matumizi ya simu.

mfano wa magonjwa hayo ni

1. KUUMWA KICHWA MARA KWA

MARA

2. PRESSURE YA KUPANDA NA

KUSHUKA

3. UVIMBE KWENYE UBONGO

4. KANSA

5. ALZHEIMER

6. NA MENGINE MENGI

Hatuwezi kujizuia kutumia simu na

Hatuwezi kuzuia hiyo mionzi ya

MICROWAVE sababu ni sehemu ya

shughuri zetu za kila siku ila

tunaweza KUPUNGUZA. hapa

nawaletea Njia chache za kupunguza

Mionzi ya MICROWAVE isituletee

matatizo makubwa zaidi.

1. Punguza matumizi yasio lazima

ya simu.Mfano Ongea mda mfupi

kwa kutumia simu sio muda

mrefu uweunaongea, Uchunguzi

umeonyesha kuwa ukiongea kwa

DAKIKA mbili haileti madhara,

(Alter natural electricity of the

Brain)

2. Watoto wasiruhusiwe kutumia

Simu bali pale tu inapobidi.

3. Tumia Earphone za wireless mfano za bluetooth. ni nzuri zaid kuliko za

wire,Earphones za wire zinaongeza wingi wa mionzi

sababu pia zinatumika kama

antena ya simu,

4. Usiweke simu kwenye Mfuko wa

suruari au shati au

kiunoni,sehemu za mwili

zinapitisha mionzi vizuri zaidi

sababu pia ni njia ya neva za

ubongo na chini ya mwili.

5.Usitumie simu kwenye chumba

kidogo au lift au gari. Sababu

Simu itatumia nguvu nyingi

kuvuta mionzi ili kuwezesha

mawasiliano.

6. Ukipiga simu subiri hadi mtu

apokee ndipo uweke sikioni

kusikiliza na sio wakati ina

connect.

7. Usipige simu kama network ipo

chini au signal inaonyesha bar

moja au ndogo, simu itavuta

mionzi zaidi ili kufanya

mawasiliano

8. Ukinunua simu hakikisha

unasoma kama ina LOW SAR

(Specific Absorbtion Rate) Ni

kipimo cha kupokea mionzi ya

simu.Za nokia zinazo ila za

Kichina HAZINA.

9. Tumia vifaa vya kupunguza

Mionzi vinapatikana madukani

(vinawakawaka taa hivi)

10.Weka simu atleast 3.4 inches kutoka kwenye sikio

11. Jitahidi kutumia Earphones muda

wote unapotumia simu

12. Tumia speaker phone."Loudspeaker "

13. Text zaidi kuliko kupiga simu .

14. Jitahidi usitumie muda mwingi

kwenye simu kama umeiweka kwenye

sikio

15. Jitahid kuiweka mbali na reproduction

organs zako hasa kwa wanaume

ambao hatujapata watoto.

16. La mwisho kula vizuri ilikuongeza

Via

Mbwanjipetro.ink

No comments:

Post a Comment