Sunday, July 29, 2012

EBSS YAENDELEA KUCHANA MBUGA NA WEEKEND HII ILIKUA MKOANI TANGA

DIGNAH MBETELA KUTOKEA DODOMA AKIWA MBELE YA MAJAJI KWA MARANYINGINE KUJARIBU KUPATA NAFASI YA KWENDA DAR ES SALAAM.
Usaili wa Zantel Epiq Bong Star Search, umekamilika mkoani Tanga katika ukumbi wa klabu ya La Casa Chica. Mwamko wa washiriki umekuwa kama ulivyotegemewa ambapo zaidi ya washiriki 300 walikuwa wamesha jisajiri kwanza kwa ajiri ya kufanya usaili siku ya leo. Washiriki wengi walioshindwa kupata nafasi katika mikoa usaili uliopitia wamejitokeza katika mkoa wa Tanga kitu ambacho kimeongeza ushindani kwa washiriki kutokea eneo hili la Tanga.
WASHIRIKI WAKIWA NA HAMASA YA KUWAONA MAJAJI


MSHEWA MUSSA AKIWAKIRISHA TENA KWA MARA NYINGINE BAADA YA KUKOSA NAFASI MKOANI ARUSHA.

WASHIRIKI WAKIWA KATIKA MSTARI WAKISUBIRI KUINGIA KUFANYA USAILI
FAISAL JAFARI KUTOKEA TANGA AKISUBIRIA USAILI

No comments:

Post a Comment