Friday, August 3, 2012

WADAU SASA WAKO MSAMVU KWA MAKUTI MJINI MOROGORO

Tayari Wadau wa Tukuyu Star Family wameshawasili hapa Msamvu kwa Bi Mkora wa Maggid Mjengwa mjini Morogoro wanapata chakula cha mchana kabla ya kuendelea na safari yao kuelekea Tukuyu Mkoani Mbeya kwa ajili ya kongamano la kufufua timu ya Tukuyu Star kesho mjini Tukuyu.
Kocha Keny Mwaisabula Mzazi ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya Tukuyu Star Family akipata menyu yake kushoto kwa ke ni mchezaji wa zamani Willy Martin na wadau wengine.
Wadau wakiendelea kupata Menyu katika hoteli ya Makuti Msamvu mjini Morogoro.
Kutoka kulia ni Mdau Edward Mwakajinga, Moses Mkandawile na Peter Mwambuja wakisubiri kupata menyu yao.

No comments:

Post a Comment