KUTOKA PEMBA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali
Mohamed Shein,(kushoto) akisalimiana na Viongozi na wananchi wa Mkoa wa
Kusini Pemba alipowasili katika viwanja vya Skuli ya Mkanyageni Pemba
katika chakula cha Futari aliyowaandalia wananchi na waumini Kijiji cha
Mkanyageni katika mwezi Mtukufu wa Ramadhan jana. (Pichana Ramadhan
Othman,Ikulu)
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein,(wa pili kulia) akijumuika na wananchi wa Kijiji cha Mkanyageni
Wilaya ya Mkoani,Mkoa wa Kusini Pemba,katika chakula cha
Futari,aliyowaandalia Wananchi hao katika viwanja vya Skuli ya
Mkanyageni.
Baadhi
ya akina mama wa Kijiji cha Mkanyageni Mkoa wa Kusini Pemba wakiwa
katika chakula cha Futari katika Mwezi mtukufu wa Ramadhan,iliyoandaliwa
na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali
Mohamed Shein,katika viwanja vya Skuli ya
Mkanyageni Pemba
Mkanyageni Pemba
Baadhi
ya Wananchi na waumini wa Dini ya Kiislamu wa Kijiji cha Mkanyageni
Mkoa wa Kusini Pemba wakiwa katika chakula cha Futari katika Mwezi
mtukufu wa Ramadhan,iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,katika viwanja vya Skuli
ya Mkanyageni Pemba
Sheikh
Yussuf Abdalla,wa Kijiji cha Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Pemba akitoa
shukurani kwa niaba ya wananchi wa kijiji hicho kwa Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.
Ali Moahmed Shein,kwa kuwaandalia Chakula cha Futari,iliyofanyika jana katika Viwanja vya Skuli ya Mkanyageni Mkoa wa Kusini Pemba.
Ali Moahmed Shein,kwa kuwaandalia Chakula cha Futari,iliyofanyika jana katika Viwanja vya Skuli ya Mkanyageni Mkoa wa Kusini Pemba.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein,(wa pili kushoto) akiagana na Wananchi wa Kijiji cha Mkanyageni
Mkoa wa Kusini Pemba jana baada ya Chakula cha Futari
aliyowaandalia katika viwanja vya Skuli ya Mkanyageni
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ahaj Dk.Ali Mohamed
Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,wakiagana na Viongozi wa Mikoa ya
Pemba katika Uwanja wa Ndege wa Karume
Pemba,baada ya kumaliza Ziara ya kisiwani humo.
Pemba,baada ya kumaliza Ziara ya kisiwani humo.
No comments:
Post a Comment