Thursday, August 23, 2012

PICHA ZA TIMU YA YANGA IKIWA RWANDA.

Yanga ambao wako Rwanda kuweka kambi na kutii mwaliko wa Rais Paul Kagame pia, hapa ni walipokua wamekwenda kutembelea nyumba ya makumbusho ya waliouwawa katika mauaji ya kimbari mwaka 1994.
.
.
.
Hapa ni kwenye uwanja wa mazoezi nyuma ya Amahoro.
Picha zote zimepigwa na Saleh Ally wa gazeti la Champion.

No comments:

Post a Comment