Sunday, March 31, 2013

Ona Jinsi Zoezi la Uokoaji Linavyoendelea Kwa Masaa 48 Baada Ya Jengo la Ghorofa 16 Kudondoka Jijini Dar es Salaam na Kusababisha Vifo vya Watu


Picha juu zinaonyesha zoezi likiendelea usiku na mchana
Kikosi cha Huduma ya Kwanza Kipo Kwa zaidi ya masaa 48 sasa
Kazi ya uchimbaji wa kifusi ukiendelea
Sehemu ya kifusi kizito kikiwa tayari kuchimbuliwa
Kazi ya Uchimbaji wa kifusi ikiwa inaendelea kwa masaa zaidi ya 48 mpaka sasa
Zoezi la kuangalia kama kuna miili iliyofukiwa kwenye kifusi ikiendelea alfajiri ya leo

No comments:

Post a Comment