Saturday, September 8, 2012

Mtu wangu wa nguvu hii ndio stage yenyewe itakayokupa nafasi ya kuwaona wakali wako wa bongofleva kama Godzila, Rich Mavoko, Recho, Juma Nature, Ben Pol, Nikki wa Pili, Mabeste, Shilole na wengine, kadi ya mwaliko utailipia elfu 5 tu kuanzia saa 12 kwenye uwanja wa Ally Hassan Mwinyi.

No comments:

Post a Comment