Tuesday, January 29, 2013

USHAHIDI WA PICHA TATU ZA LULU BAADA YA DHAMANA KUKAMILIKA, MUDA MFUPI KABLA YA KUINGIA URAIANI

Lulu na mama yake mzazi wakilia baada ya kukutana nje ya Mahakama, Lulu ameachiwa huru na Mahakama january 29,2013 mchana, pembeni ni mwigizaji Dr. Cheni ambaye amekua karibu na familia ya Lulu kwa muda mrefu sana.
Lulu akiingia kwenye gari.
Machozi ya furaha.

No comments:

Post a Comment