Wednesday, January 30, 2013

KUTOKA BUNGENI DODOMA LEO

Naibu waziri wa Nishati na Madini George Simbachawene akijibu hoja mbalimbali za wizara yake
Baadhi wa wabunge wakielekea katika ukumbi wa mkutano Bungeni mjini Dodoma.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya ya Rais (mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira (kulia) akisalimiana na Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema.
Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni Freeman Mbowe(kuli) Godbless Lema (ars mjini- katikati) na Vicent Nyerere- Musoma Mjini
Mwingulu Nchemba (Singida)-kulia, Joseph Selasini (Rombo- katikati),a Mosses Machali (NCCR-Mageuzi- Kigoma mjini) katika viwanja vya bunge.


 Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiongea na waandishi wa habari. Kulia ni Waziri wa Mambo ya Ndani, Emmanuel Nchimbi

No comments:

Post a Comment